WANANCHI WAHIMIZWA KUJITOKEZA KWA WINGI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA

SINGIDA-Wananchi Wilaya ya Mkalama wametakiwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Wapiga Kura ili waweze kupata nafasi ya kuchagua viongozi wanaowataka katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 27/11/2024.
Wito huo umetolewa na Msimamizi wa Uchaguzi wilaya ya Mkalama Bi.Asia Messos mapema leo mara baada ya kumaliza kujiandikisha katika Daftri la Wapiga kura katika kitongoji cha Kisengo kilichopo kijiji cha Maziliga wilayani hapa.
Zoezi la uandikishaji Wapiga Kura katika Daftari la Wapiga kura limeanza leo na litachukua muda wa siku 10 kuanzia tarehe 11-20 Oktoba 2024

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news