Wanasheria Wakuu wa Serikali,Mheshimiwa Hamza na Dkt.Haji wateta jijini Zanzibar

ZANZIBAR-Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza Johari amekutana na kufanya mazungumzo na Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mhe. Dkt. Mwinyi Talib Haji, katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar iliyoko Mazizini Jijini Zanzibar, tarehe 24 Oktoba 2024.
Mazungumzo yao yalikuwa na lengo la kuimarisha mahusiano baina ya Ofisi hizo mbili.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news