Waziri Lukuvi ajiandikisha kijijini Idodi

IRINGA-Oktoba 20,2024 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera Bunge na Uratibu),Mhe. William Lukuvi (Mb) Isimani ameshiriki kujiandikisha kwenye daftari la wakazi katika Kitongoji cha Msimbi kilichopo katika Kijiji cha Idodi ili kushiriki kupiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news