Waziri Mkuu arejea nchini kutoka UN


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, wakati alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Oktoba 01, 2024. Waziri Mkuu alitokea New York nchini Marekani, ambapo alimwakilisha Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news