ZANZIBAR-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mheshimiwa Dkt.Hussein Ali Mwinyi amewaapisha wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya aliowateua hivi karibuni.


Sadifa Juma khamis kuwa Mkuu wa Wilaya ya Maghàribi A,Rashid Simai Msaraka kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini A Unguja.

Hamad Omar Bakari, kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Pemba,Mgeni Khatibu Yahya, kuwa Mkuu wa Wilaya ya Chakechake Pemba.
Othman Ali Maulid, kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja,Cassian Gallos Nyimbo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kati.
Juma Sururu Juma kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini B Unguja na Hawah Ibrahim Bae kuwa Naibu Katibu Mkuu Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi.

Wengine ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Mohd Said Dimwa, Viongozi mbalimbali wa Serikali, viongozi wa Dini na Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama.