DAR-Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema,mwenendo wa mifumo ya hali ya hewa unaonesha kuwa katika kipindi cha saa 6 zilizopita,Kimbunga CHIDO kimeingia nchi kavu katika eneo la Kaskazini mwa Msumbiji na kimeanza kupoteza nguvu yake huku kikielekea Kusini Magharibi mbali zaidi ya nchi yetu.

"Hivyo, kwa sasa hakuna tena tishio la kimbunga CHIDO katika nchi yetu na hakuna madharazaidi ya moja kwa moja yanayotarajiwa yakihusishwa na kimbunga hicho;
Tags
Habari
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)
Tanzania Meteorological Agency (TMA)
Utabiri wa Hali ya Hewa Tanzania