DODOMA-Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi ameshiriki kikao kazi cha Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Wakurugenzi wa Divisheni/Idara na Wakuu wa Vitengo vya huduma za Sheria Serikalini.

Kikao kati ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Wakurugenzi wa Divisheni/Idara na Wakuu wa Vitengo vya huduma za Sheria Serikalini kilifanyika tarehe 06 Desemba, 2024 Jijini Dodoma.