VIDEO:Dkt.Mwasaga,mitandao ya kijamii ni fursa ya ajira na biashara

DAR-Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA, Dkt. Nkundwe Mwasaga amesema kuwa, mitandao ya kijamii ikitumika ipasavyo ni fursa kubwa ya ajira na biashara kwa Watanzania.
Ameyabainisha hayo wakati akizungumza katika Kipindi cha Twende Pamoja cha runinga ya Channel Ten jijini Dar es Salaam.

"Itolewe elimu kwa kiasi kikubwa ili watu waweze kutambua ni namna gani ya kuweza kutumia mitandao kwa ubora wake.

"Kwa sababu mitandao kwa sisi tunavyoiona ni fursa, ni fursa ambayo watu wanaweza kuitumia kufanya shughuli zao za kibiashara akapata kipato kizuri na vilevile akaweza hata kuajiri watu wengine;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news