DODOMA-Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Januari 21, 2025 atazindua Mradi wa (SOFF) unaofadhiliwa na Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO).

Hafla hiyo inafanyika katika ukumbi wa hoteli ya Midland Inn View Dodoma.
Tags
Habari
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)
Mradi wa Hali ya Hewa Tanzania
Tanzania Meteorological Agency (TMA)