Aliyekuwa akitafutwa na Jeshi la Polisi kwa uhalifu afariki

DAR-Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Moses Daudi maarufu kama Shija (35) aliyekuwa akitafutwa na Jeshi la Polisi kwa muda mrefu kwa tuhuma za unyang'anyi kwa kutumia silaha, ubakaji na ulawiti amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam baada ya kujeruhiwa kwa risasi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news