Brazil kutoa mafunzo kwa Askari Polisi nchini

ZANZIBAR-Balozi wa Heshima wa Brazil Visiwani Zanzibar,Abdulsamad Abdurahim amesema, nchi ya Brazil imekusudia kutoa mafunzo kwa Askari Polisi ili kuwajenga na kuwaweka tayari kudhibiti na kufanya uokozi kwa njia ya amani katika mikusanyiko mikubwa.
Akizungumza katika ziara ya Balozi huyo pamoja na Maafisa kutoka Brazil, Febuari 16,2025 Makao Makuu ya Polisi Zanzibar amesema ziara na mafunzo watakayotoa yanalenga kukuza ushirikano baina ya nchi hizo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news