Bumbuli wamchoka January Makamba, picha zimenasa haya

TANGA-Malalamiko ya Wanabumbuli kuhusu mbunge wao January Makamba yamechukua sura mpya baada ya wananchi hao kuanza kubandika vipeperushi vyenye picha ya Mbunge huyo vikieleza kuhusu kuchoshwa na utendaji kazi wake.
Vipeperushi hivyo yimeandikwa maandishi yaliyosomeka "Bumbuli tunasema hapana, miaka 15 imekutosha pumzika".

Ujumbe huu ni ishara ya kuchoshwa kwa wananchi na utendaji usiokidhi matarajio yao kwenye utatuzi wa kero zinazowakabili.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news