GATES FOUNDATION YAMUUMBUA MARIA SARUNGI

DAR-Tukiwaambia Maria Sarungi ni muongo muelewe. Tukiwaambia Maria Sarungi anaendeshwa na chuki binafsi dhidi ya Rais mtuamini.
Kazoea kutunga uongo na kutag mashirika bila kujibiwa. Leo Gates Foundation imemjibu kiupole lakini kwa sauti kubwa sana.

Gates Foundation imetuma na link ya press release inayo tangaza sio tu ushindi wa Rais Samia Suluhu Hassan kwenye tuzo ya Goal Keepers Award bali na sababu za kupewa tuzo hizo.

Ni wakati sasa mumpuuzie Maria Sarungi, bigwa wa uongo na chuki.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news