Magazeti leo Februari 7,2025

DAKTARI Bingwa wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu kutoka Chama cha Wataalmu wa Kifafa Tanzania, Dkt. Patience Njenje amesema imani za kishirikina zimekuwa zikigharimu maisha ya wagonjwa wa kifafa kwa kukabiliwa na unyanyapaa ambapo asilimia 50 ya jamii inaamini kuwa kifafa kinaambukiza.
Akizungumza jijini Dar es Salaam ikiwa ni wiki ya maadhimisho ya kifafa Februari 3 hadi 9 na kuelekea siku ya kifafa Duniani Februari 10 dk Njenje amebainisha kuwa utafiti pia umeonesha kuna takribani watu milioni moja wanaoishi na kifafa nchini.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news