Magazeti leo Februari 8,2025

DODOMA-Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amemuagiza Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo kuhakikisha kuhakikisha Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Uendelezaji wa Makao Makuu Dodoma unawasilishwa bungeni kabla ya kuvunjwa kwa Bunge la 12, mwaka huu.

Mchengerwa ametoa maagizo hayo Jijini Dodoma katika hafla ya utiaji wa saini Mkataba wa ujenzi wa Soko kuu la Majengo na ujenzi wa kituo cha daladala eneo la Mshikamano, Kizota na Nzuguni.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news