Mwanasheria Mkuu wa Serikali akiteta jambo na Mawaziri bungeni Dodoma

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Wiliam Lukuvi (kulia), Waziri wa Fedha , Mhe. Dkt Mwigulu Nchemba (wa pili kulia) Waziri wa Nchi , Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yusuf Masauni (kushoto), Bungeni Jijini Dodoma wakati wa kikao cha sita cha Mkutano wa kumi na nane wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo tarehe 4 Februari,2025.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news