Suleiman Mwalimu asajiliwa Wydad AC nchini Morocco

MSHAMBULIAJI wa Singida Black Stars, Suleiman Mwalimu (25) ambaye alikuwa anaitumikia klabu ya Fountain Gate FC kwa mkopo, amejiunga na Klabu ya Wydad AC ya nchini Morocco kwa mkataba wa miaka minne.
Suleiman Mwalimu anakuwa chaguo la pili baada ya klabu hiyo kumkosa Clement Mzize wa Young Africans Sports Club (Yanga SC) kwenye dirisha hilo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news