Tuhamasishe wana CCM wajitokeze kupiga kura kwa wingi-Rais Dkt.Mwinyi

ZANZIBAR-Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amezisisitiza jumuiya za Chama Cha Mapinduzi kuwahamasisha wanachama na wananchi kujiandikisha na kujitokeza kwa wingi kupiga kura ili CCM ishinde kwa kishindo.
Dkt. Mwinyi ambaye ni Mgombea Mteule wa Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya CCM ameyasema hayo alipozungumza na wanachama na wananchi Mauwani, Kiwani Mkoa wa Kusini Pemba katika Mkutano Maalum wa Mapokezi yake baada ya kuteuliwa hivi karibuni kuwa mgombea wa Urais wa Zanzibar.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news