VIDEO:REA yazidisha furaha vijijini

SERIKALI kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea kuboresha maisha ya wananchi wa maeneo ya vijijini kwa kufikisha umeme katika maeneo muhimu ya kijamii.
Baada ya kufikisha umeme kwenye vituo vya kuzalisha maji (pampu za maji) wananchi wanaeleza bayana namna ambavyo maisha yao yamebadilika kulinganisha na hali ilivyokuwa hapo kabla...

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news