DAR-Wafanyabiashara 774 kati ya 1,520 waliotambuliwa kuwa na sifa za kurejeshwa katika soko la Kariakoo wamejitokeza leo katika ukumbi wa mikutano wa Arnautoglo Dar es Salaam kuchukua fomu maalum za usajili kwa ajili ya maandalizi ya kuingia kwenye soko hilo kufuatia tangazo la kukamilika kwa uhakiki wa wafanyabiashara na majina kutangazwa kwa umma
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhClx2Kp5r3WWBmhyphenhyphenE-huaYJRfP-hXkagq7BSI5eirI7G_vIPQDqJ8s77eiyo-_Z3rBn_BeTO6EmWxAQfX6l2kukErEdAvXH_0riwVFnswb43nIAXGp9qH7Ataydk6j2P5-5h32mu5r8Oflz1lJ22yLM_c-Xdr8ppXe1zj_2cool62G8CYvGzAcJxkq1yRK/s16000/1001165107.jpg)