Waziri Dkt.Nchemba akutana na watu wenye ulemavu

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiteta jambo na Mbunge wa Viti Maalum, na Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge cha Kutokomeza Malaria Tanzania (TAPAMA), Mhe. Riziki Lulida, nje ya Jengo la Hazina, Jijini Dodoma, baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Asasi ya Kiraia inayojihusisha na masuala ya watu Wenye Ulemavu (SWAUTA), ambapo pamoja na mambo mengine, Mhe. Dkt. Nchemba aliwahakikishia utayari wa Serikali kuendelea kuyasaidia Makundi Maalumu kufikia ndoto yao ya kujikwamua kiuchumi kupitia mipango na ruzuku inayotolewa na Serikali kupitia Bajeti Kuu.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akimsaidia Mbunge wa Viti Maalum, na Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge cha Kutokomeza Malaria Tanzania (TAPAMA), Mhe. Riziki Lulida, nje ya Jengo la Hazina, Jijini Dodoma, baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Asasi ya Kiraia inayojihusisha na masuala ya watu Wenye Ulemavu (SWAUTA), ambapo pamoja na mambo mengine, Mhe. Dkt. Nchemba aliwahakikishia utayari wa Serikali kuendelea kuyasaidia Makundi Maalumu kufikia ndoto yao ya kujikwamua kiuchumi kupitia mipango na ruzuku inayotolewa na Serikali kupitia Bajeti Kuu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news