DAR-Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (Sera za Uchumi na Fedha), Dkt. Yamungu Kayandabila, amekutana na Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mhe. Jesper Kammersgaard, aliyeambatana na Makamu wa Rais wa Mfuko wa Uwekezaji wa Serikali ya Denmark (IFU), Bw. Theo Larsen.

