CCM yafanya marekebisho ya kanuni za uteuzi wa wabunge viti maalumu

DODOMA-Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (NEC) chini ya Mwenyekiti wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan imefanya marekebisho ya kanuni za uteuzi wa wabunge wake wa viti maalumu.
Pia,kwa upande wa vijana kikao cha kupiga kura za maoni zitapigwa na wajumbe wa UVCCM ngazi za mikoa na wilaya na watakuwa ni wajumbe wanawake tu.

Vilevile kutakuwa na ukomo wa viti maalumu kuishia vipindi viwili kuanzia mwaka 2030.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news