ZANZIBAR-Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi katika futari aliyoiandaa.
Hafla hiyo ya imefanyika katika Viwanja vya Ikulu Zanzibar, tarehe 22 Machi 2025.

Aidha, Dkt.Mwinyi ametumia fursa Hiyo kuwatakia Waumini vwa Dini ya Kiislamu na wananchi Sikukuu Njema ya Idd el fitr.
