Magazeti leo Machi 20,2025


Jamaa agombewa na wanawake hadi kero sasa!

NAITWA Moses kutokea Morogoro, ni kijana wa miaka 38, nimekuwa nikifanya kazi ya ufundi umeme maeneo mbalimbali hapa nchini na kweli nashukuru nimekuwa nikipata fedha nzuri ya kuendesha maisha yangu.
Nashukuru kile nachopata kinatosha kuendesha maisha yangu vizuri tu, nimefanikiwa kujenga na kuwekeza mradi mdogo wa kuuza mbao kwa ajili ya ujenzi maeneo ya mjini, na kweli mambo ni mazuri, sio haba.

Licha ya umri wangu kuonekana kwenda, bado sijafanikiwa kuoa wala kuwa na mtoto katika maisha yangu, lakini ni kitu ambacho nilikitamani sana tangu nikiwa na umri wa miaka 24, kipindi hicho nilikuwa na uwezo kiasi tu.SOMA ZAIDI HAPA

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news