Magazeti leo Machi 23,2025

Mwamba aliyeshida kesi nyingi kimiujiza atoboa siri

JINA langu Hemed, katika maisha yangu nimeshuhudia jamaa akishtakiwa Mahakamani zaidi ya mara 100 kwa mashauri mbalimbali, kwa mujibu wa jamaa huyo, mashauri hayo mengi yalikuwa ya uongo yaliyotengenezwa na wabaya wake.

Hata hivyo, ingawa jamaa huyo aitwaye Musa hajawahi kusomea mambo ya sheria mahali popote pale lakini katika miaka zaidi ya 15 katika viunga vya Mahakama hajawahi kushindwa kesi, mara zote huwa anaibuka mshindi na imekuwa kama desturi kwake.
Habari zake ziliwafikia Waandishi wa Habari hivyo siku moja walikuja nyumbani wake kumuhoji kulikoni?, kutokana nilikuwa jirani yake nilifika nyumbani kwake kusikiliza mahojiano yake na Wanahabari hao.

Musa alisema hadi kuwa bingwa wa kushinda kesi nyingi bila kuwa na taaluma ya sheria, sio jambo...SOMA ZAIDI HAPA

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news