Mwenyekiti wa Mbala Kisambi,Alphonce Temba ashawishi uongozi wa EACLC kufungua soko kubwa Mbala

DAR-Mwenyekiti wa mradi mpya wa Mbala Kisambi,Alphonce Temba (kulia) akipata maelekezo juu ya Kituo cha Biashara Afrika Mashariki (EACLC) kilichopo Ubungo jijini Dar es Salaam leo, hata hivyo amewashawishi wakurugenzi wa mradi huo kufungua soko kubwa zaidi eneo la Mbala ambako ni karibu na viwanda vingi katika Mkoa wa Pwani.
Aidha,ombi limepokelewa na siku za usoni Mbala Kisambi itakuwa bora zaidi huku akihimiza kuendelea kujiandikisha na kuchangia.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news