Ndege za Air Tanzania kufanya safari Dar hadi Kinshasa

DAR-Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) linatarajia kuanza safari za ndege zake kutoka Tanzania kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kuanzia Aprili 25,2025.
Kwa mujibu wa taarifa fupi iliyochapishwa katika mitandao ya kijamii ya ATCL safari hizo za Kinshasa zitakuwa kwa wiki mara nne ikiwemo siku ya Jumatatu, Jumatano,Ijumaa na Jumapili.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news