CCM yapitisha majina ya wagombea wa nafasi mbalimbali

DODOMA-Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) chini ya Mwenyekiti wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan imekutana Machi 10,2025 jijini Dodoma.
Pamoja na mambo mengine kamati hiyo imepitisha majina ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi zilizokuwa wazi ndani ya CCM na jumuiya zake kwa nafasi za wilaya na mikoa. Majina yaliyopitishwa ni kama ifuatavyo;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news