Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani

ARUSHA-Wanawake watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wameshiriki katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Machi 8,2025 kitaifa mkoani Arusha, ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungungumza na Watumishi wa Umma, Sekta binafsi na wananchi wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika jijini Arusha.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungungumza na Watumishi wa Umma, Sekta binafsi na wananchi wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika jijini Arusha.

Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani mwaka huu yameongozwa na kaulimbiu “Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji.”

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news