Rais Dkt.Mwinyi afuturisha wananchi Mkoa wa Kusini Pemba

ZANZIBAR-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na wananchi katika makundi maalum wakiwemo wazee, yatima, watu wenye ulemavu,wajane,walimu wa Madrasa, Masheikh na Maimamu wa misikiti wa Mkoa wa Kusini Pemba katika futari ya pamoja aliyoiandaa.
Hafla hiyo imefanyika ZSSF, Tibirinzi Mkoa wa Kusini Pemba tarehe 18 Machi,2025.
Aidha, Rais Dkt. Mwinyi amewasisitiza wananchi kuendelea kuiombea nchi amani wakati huu ikielekea katika Uchaguzi Mkuu pamoja na viongozi wakuu wa nchi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news