Rais Dkt.Mwinyi akabidhi sadaka kwa watu wenye mahitaji maalum Mkoa wa Kusini Pemba

ZANZIBAR-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dkt.Hussein Ali Mwinyi amewasisitiza wananchi kuendelea kuiombea nchi amani wakati huu ikielekea katika Uchaguzi Mkuu pamoja na viongozi wakuu wa nchi.
Rais Dkt.Mwinyi amesema hayo leo Machi 18,2025 wakati akikabidhi Sadaka ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ya bidhaa za chakula kwa ajili ya futari kwa watu wa makundi maalum wa Mkoa wa Kusini Pemba wakiwemo watu wenye ulemavu, wajane, yatima, wazee, walimu wa Madrasa na Maimamu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news