Rais Dkt.Mwinyi awashukuru wadau mbalimbali wanaojitolea sadaka kwa wananchi mbalimbali

ZANZIBAR-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi amewashukuru na kuwapongeza wadau mbalimbali waliojitokeza kujitolea sadaka kwa watu wenye mahitaji maalum katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Rais Dkt.Mwinyi amesema hayo alipokabidhi sadaka mbalimbali zilizotolewa na mfanyabiashara Said Nassir Nassor (Bopar) kwa wananchi wa Chanjamjawiri Wilaya ya Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba tarehe 19 Machi 2025.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news