REA yaendelea na usambazaji wa mitungi ya gesi kwa bei ya ruzuku mkoani Tanga

TANGA-Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeendelea na zoezi la usambazaji wa mitungi ya gesi ya kilo sita kwa bei ya ruzuku wilaya ya muheza kata kwa kata.
Mitungi inapatikana kwa gharama nafuu, inatunza mazingira,inadumu na rafiki kwa afya ya watumiaji.

Aidha,mitungi 26,040 inatarajiwa kusambazwa kwa bei ya ruzuku Mkoa wa Tanga huku mitungi 3,255 kusambazwa kwa bei ya ruzuku kata kwa kata wilayani Muheza.
.
Ikumbukwe kuwa,majiko ya gesi ni nishati safi na salama yenye kutunza mazingira na rafiki kwa afya ya watumiaji.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

1 Comments

  1. It's an inspiring move to read DiraMakini with consciousness. Thank you

    ReplyDelete
Previous Post Next Post

International news