TMA yatahadharisha mvua kubwa nchini

DAR-Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa utabiri wa mvua kubwa inayotarajiwa kunyesha katika mikoa mbalimbali nchini kuanzia Machi 11, 2025.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mamlaka hiyo imeeleza kuwa,mikoa itakayopata mvua ni Kigoma, Katavi, Tabora, Singida, Dodoma, Simiyu, Mara, Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Kagera, Geita, Mwanza na Shinyanga, Tanga, Morogoro, 

Dar es Salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Mtwara, Lindi, Rukwa, Mbeya, Iringa, Songwe, Njombe na Ruvuma pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.

Aidha,mamlaka hiyo imeeleza kuwa, kiwango cha athari zinazoweza kutokea ni wastani na baadhi ya makazi kuzungukwa na maji.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news