Wakili Mkuu wa Serikali afanya mazungumzo na viongozi wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu, Umoja wa Wanasheria Afrika (PALU)


Viongozi wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu, Umoja wa Wanasheria Afrika (PALU) na Maafisa Waandamizi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakimsikiliza Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi wakati wa kikao kilichofanyika Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na Mratibu wa Taifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Wakili Onesmo Olengurumwa alipomtembelea Wakili Mkuu wa Serikali Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Mratibu wa Taifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu, Wakili Onesmo Olengurumwa akielezea namna ofisi yake inavyofanya kazi alipomtembelea Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) Ofisi kwake jijini Dar es Salaam.
Afisa Programu wa Umoja wa Wanasheria Afrika (PALU), Bi. Neema Jaji akielezea lengo la ziara yake walipomtembelea Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) Ofisi kwake jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Idara ya Utetezi wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu, Wakili Paul Kisabo akitoa neno la shukrani baada ya kikao na Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) Ofisi kwake jijini Dar es Salaam.
Viongozi wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu, Umoja wa Wanasheria Afrika (PALU) na Maafisa Waandamizi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakimsikiliza Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi wakati wa kikao kilichofanyika Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (watatu kutoka kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu, Umoja wa Wanasheria Afrika (PALU) na Maafisa Waandamizi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali baada ya kikao kilichofanyika Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news