Waziri Mchengerwa ashiriki futari na wakuu wa mikoa

DODOMA-Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa leo amepata futari na Wakuu wa Mikoa pamoja na Makatibu Tawala wote Tanzania bara mara baada ya swala ya magharibi katika viwanja vya Jengo la Takwimu jijini Dodoma.
Mapema leo Waziri Mchengerwa alikua na kikao na viongozi hao kujadili Sura ya Mpango na Bajeti ya OR - TAMISEMI, Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka 2025/26.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news