Waziri Mkuu ashiriki sala ya Eid wilayani Ruangwa

LINDI-Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Machi 31, 2025 amejumuika na waumini wa dini ya Kiislamu katika sala ya Eid iliyofanyika kiwilaya kwenye Mtaa wa Maghalani, Ruangwa mkoani Lindi.
Akizungumza baada ya sala hiyo, Mheshimiwa Majaliwa ametoa wito kwa waumini hao na Watanzania kwa ujumla kuliombea Taifa, viongozi wake pamoja na kudumisha amani, umoja na mshikamano.
Katika sala hiyo pia Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack ameshiriki.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news