Bodi ya Ligi Zanzibar yasogeza mbele michezo ya ligi kuu

ZANZIBAR-Bodi ya Ligi Kuu Zanzibar imesogeza mbele Ligi Kuu ya Zanzibar (PBZ Premier League) hadi Aprili 10, 2025 kutokana na kutokamilika kwa miundombinu katika viwanja vilivyopangwa kutumika kwa ajili ya ligi hiyo.
Ligi Kuu ya PBZ ilipangwa kurudi Aprili 05, 2025 baada ya kumalizika kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, ikipangwa kuchezwa katika Viwanja vya Mau A na Mau B kwa Unguja, na Gombani Stadium kwa upande wa Pemba.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news