Dkt.Nchemba akibadilishana mawazo na mawaziri wa fedha Afrika Kusini,Zambia na Rwanda


Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (kushoto), akisalimiana na Waziri wa Fedha wa Afrika Kusini, Mhe. Enoch Godongwana, Nje ya Jengo la Makao Makuu ya Benki ya Dunia jijini Washington D.C, ambako inafanyika mikutano mwaka 2025 ya majira ya Kipupwe ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) na Benki ya Dunia.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb)(kushoto), akisalimiana na Waziri wa Fedha wa Zambia, Mhe. Situmbeko Musokotwane, kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Mawaziri wa Fedha wa nchi za Afrika, wanachama wa Shirika la la Fedha la Kimataifa IMF na Benki ya Dunia, ulioongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa IMF, Bi. Kristalina Georgieve, ikiwa ni sehemu ya mikutano ya majira ya Kipupwe ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) na Benki ya Dunia, inayoendelea jijini Washington D.C, nchini Marekani.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb)(kushoto), akisalimiana na Waziri wa Fedha wa Rwanda, Mhe. Yusuf Murangwa, Nje ya Jengo la Makao Makuu ya Benki ya Dunia jijini Washington D.C, ambako inafanyika mikutano mwaka 2025 ya majira ya Kipupwe ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) na Benki ya Dunia.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news