Magazeti leo Aprili 1,2025

Jinsi ya kumrudisha ex wako kwa urahisi

NAITWA Jesca kutoka Tanga, nilikuwa na uhusiano na kaka mmoja, tulikubaliana nikishabeba ujauzito ataenda kwetu kwa ajili ya kujitambulisha, lakini mpaka najifungua alikuwa ananisumbua wala sikumuona kwetu.

Basi tukawa tunagombana sana, katika kugombana mara kwa mara alikuwa ananiambia tuachane, mimi nilichukulia poa kwani ni mtu niliyekuwa namuamini kuwa hawezi kuniacha, nilikuwa namuona kama mume wangu.
Baada ya kujifungua nilimbembeleza sana kuja kumuona mtoto ila alikuwa ananizungusha, nikajikuta naumia sana na kuzidisha kisirani kwani huko nyuma ni mtu aliyekuwa anapenda sana watoto.

Yaani anakuongelea kuhusu kuzaa kila siku ila nilipobeba mimba ndiyo akabadilika na hapo ndipo nikaamua kumuachia....SOMA ZAIDI HAPA

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news