Magazeti leo Aprili 13,2025

Unavyoweza kukabiliana na migogoro ya mali

KATIKA familia yetu tumezaliwa watoto 12, wakiume tukiwa saba, huku wa kike wakiwa ni watano. Tuliishi upendo kama ndugu maana ndivyo wazazi wetu walikuwa wanatusisitizia kila wakati.
Jina langu ni Nelson, mtoto wa mwisho wa mzee Nyaku, katika umri wangu wa miaka 25 nimepitia mgogoro mkubwa ambayo siweza kuja kuusahau hata pale nitakapokuwa mzee, nao mgogoro wa ardhi baina yangu na kaka zangu.

Kipindi baba yetu, Mzee Nyaku anafariki, aliachia Wosia kuwa mimi ndio nitarithi eneo la shamba ambalo ipo nyumba yetu, pia nyumba itakuwa yangu kwa sababu mimi ni mtoto wa mwisho.

Jambo hilo halikuwapenda kaka zangu, walisema Kwa vile mimi nilikuwa karibu sana na Baba ndio nilitumia fursa hiyo kuandika Wosia huo na sio Baba.

Ni jambo lilinishangaza kwa maana sikuwahi kujua kama kuna siku Baba aliandika...SOMA ZAIDI HAPA

International news

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post