Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara (NBCPL 2024/2025) Aprili 21,2025

TANGA-Timu ya Kengold FC imeshuka daraja rasmi kutoka Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwenda Ligi ya Championship.

Ni kufuatia kipigo cha 2-1 dhidi ya Coastal Union katika dimba la Mkwakwani jijini Tanga.

KenGold FC yenye alama 16 wakiwa mkiani kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa sasa wamesaliwa na mechi tatu ambapo hata wakishinda zote hawawezi kuifikia Tanzania Prisons waliopo nafasi ya 14 wakiwa na alama 27.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news