Naibu Waziri Nderiananga atembelea mabanda ya mabanda ya maonesho katika mkutano wa tatu wa Kimataifa wa watu wenye ulemavu Ujerumani

BERLIN-Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu),Mhe. Ummy Nderiananga ametembelea na kujionea shughuli zinazotekelezwa na taasisi mbalimbali kuhusu watu wenye ulemavu duniani wakati wa maonesho yanayoendelea katika Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Watu wenye Ulemavu (Third Global Disability Summit) jijini Berlin nchini Ujerumani tarehe 03 Aprili 2025.

International news

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post