Tapeli alivyoenda Benki kunirudishia fedha zangu!

NAITWA Naimani, unajua migogoro ya mashamba na viwanja ni mingi sana kwenye mahakama zetu, na yote inasababishwa na watu ambao si waaaminifu, mtu anaweza kuuza shamba lake leo, kisha kesho anamtafuta tena mtu mwingine na kumuuzia.

Nasema hivyo kwa sababu mimi ni miongoni mwa watu ambao wameweza kukumbana na changamoto hiyo, niliweza kununua kiwanja nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwa fedha nyingi tu ambazo nilizikusanya kwa muda mrefu kama miaka mitano.
Wakati napambana niweze kupata fedha za kuanza ujenzi, nilishtuka kuona kiwanja changu kuna ujenzi mwingine umeanza, nilipoenda kumuuliza anayejenga, aliniambia na yeye kauziwa kiwanja hicho na nyaraka muhimu anazo.

Nilihisi kuchanganyikiwa kabisa, mwili uliishiwa nguvu maana fedha zangu ...SOMA ZAIDI HAPA

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news