Waziri Dkt.Nchemba azuru Ubalozi wa Tanzania nchini Italia

ROME-Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ametembelea Ubalozi wa Tanzania mjini Rome nchini Italia akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo na kuzungumza na wafanyakazi wa Ubalozi huo ambapo aliwapongeza kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kuiwakilisha nchi kupitia diplomasia ya uchumi katika Taifa hilo baada ya kupokea taarifa fupi ya utekelezaji wa majukumu ya Ubalozi huo kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Kituo cha Ubalozi wa Tanzania nchini Italia, Bi. Eva Kaluwa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news